Jinsi Ugunduzi Mpya Wa Mmea Wenye Asili Ya Asia Unavyoonekana Kusaidia Kuchoma Mafuta Ya Mwili Kwa Karibu Kila Mtu Anayeujaribu! Ndani Ya Siku 90 tu!.
Mpendwa msomaji,
Kama unataka kupungua uzito wa mwili wako na kuchoma mafuta kwa njia rahisi pasipo kufanyiwa upasuaji wala kuweka puto (intragastric balloon)....
Ili Kuondoa sumu na mafuta yaliyopo kwenye mishipa ya damu, tumboni na sehemu zote za mwili....
Ili upate Kuondoa mafuta mabaya na kuondoa maumivu ya viungo vyako…
Pamoja na kuimarisha Afya yako na kuweza kuepukana na magonjwa kama kisukari, shinikizo la damu na magonjwa ya moyo.
Ili uwe na mwili mwepesi,wenye nguvu na uwezo wa kufanya kazi kwa masaa mengi ….
Vilevile kujiamini na kuondokana na hisia za aibu ndani ya jamii inayo kuzunguka…
Pamoja na kuvaa nguo za kupendeza kwa matokeo ya kupungua kwa mwili ukilinganisha na wakati ukiwa na mwili mkubwa kupindukia….
na hatimaye uweze kuishi maisha marefu na yenye furaha.
Basi ujumbe huu utakuwa wa kukufurahisha na kusisimua ambao utapata kuusoma siku ya leo na hii hapa sababu.....
Unaelekea Kugundua Njia Mpya Na Ya Kipekee Ambayo Haina Madhara Yoyote Mwilini Na Imethibitishwa Na Mamlaka Za Afya Duniani Kwa Kuyeyusha Mafuta Yaliyozidi Mwilini Kama Barafu Iliyoanikwa Juani.
Kwa majina naitwa Mr Baraka.
Najua ni kwa jinsi gani Uzito Uliozidi Mwilini unavyokukosesha furaha ya maisha yako kwa sababu hata kaka yangu alikuwa na tatizo kama lako…
Nina uhakika kama ilivyokuwa kwa kaka yangu hata wewe pia umejaribu njia mbalimbali za kutaka kuondokana na uzito uliozidi mwilini lakini umeishia kupoteza pesa na muda wako kwa kutumia njia ambazo hazifanyi kazi...
Ilikuwa ni Mwaka 2016 mwezi wa 5 saa 7:30 usiku. Katika Jiji la Bandari salama ambalo hapo mwanzo lilijulikana kwa jina la Mzizima......
Hali ya kiafya ya kaka ilianza kubadilika ghafla.
Alijiona amechoka kupita kiasi na muda wote alitamani kulala japo alikuwa anapata Usingizi wa tabu na shida nyingi sana.
Mazoezi aliyopenda kuyafanya hapo awali yalianza kuwa magumu kwake.
Ghafla alianza kuona nguo zake hazimtoshi na kila siku uzito wake uliongezeka kwa kasi ya ajabu.
Vyakula alivyovipenda vilianza kumletea changamoto.
Mara tu baada ya kula, alihisi tumbo limejaa na gesi zilianza kumsumbua mno.
Kupumua palikuwa kazi na alihisi anachoka kwa uchovu wa kila mara.
Mazingira ya kazi yake yalizidi kuwa magumu kwani alihisi mwili wake hauna nguvu na hata mawazo yake yalikuwa mazito.
Na kilichomtisha zaidi ni hali ya kila mtu kuona mapigo yake ya moyo wazi wazi kila mahali, tumboni, shingoni, kwenye misuli ya kichwani na mikononi kwa kumuangalia tu…
kila mtu alimshangaa!..
Muda mwingine moyo ulilipuka ghafla na kuanza kwenda mbio, alikuwa anaishi kwa hofu kubwa mno...
Ilifika wakati akaanza kusumbuliwa na ganzi mwilini…
Kila siku alikuwa anashtuka kwa nguvu usiku nakuhisi kama hana mkono...
Kwa sababu, ule mkono ambao alikuwa anaulalia ulikuwa unashikwa na ganzi kiasi cha kwamba alikuwa anauona lakini akijishika ahisi kama ameushika....
Ni kama ulikuwa unapooza flani hivi...
Ili arudi katika hali ya kawaida kutambua uwepo wa mkono wake, ilitakiwa aupige ukutani kwa nguvu kwa dakika moja ndipo anaanza kuhisi maumivu kwa mbali na baadae anakaa sawa...
Kuna wakati alikuwa anapata kichefuchefu sana na kutapika hovyo hovyo muda mfupi tu baada ya kula...
Vyakula vingi vilikuwa vinamsumbua akila, hali hiyo ilimfanya akae na njaa muda mrefu kwa kuogopa kula…
Pamoja na mateso yote hayo, kitu alichokuwa anategemea ni kununua dawa kwenye maduka ya madawa ambazo zilikuwa zinamtuliza tu maumivu kwa muda mfupi...
Ilipofika mwezi wa 8 mwaka 2018 mambo yalibadilika kabisa homa ilikuwa imechachamaa kweli kweli na uwezo wa kuvumilia ulifika mwisho.
Akaenda hospitali ya Regence Dar Es Salaam.
Alipofika alimuona daktari na alimuuliza maswali kadhaa namna anavyojiskia kisha akamuambia aende maabara…
Alipima Full Blood Picture, alivyorudisha majibu ya vipimo kwa daktari alimuuliza, umewahi kuwa na Tatizo la Uzito kuzidi Mwilini?
Akamjibu hapana, akamuuliza tena unazijua dalili za uzito kuzidi mwilini? Akamjibu hapana…
Akamuambia vipimo vinaonesha matatizo mbalimbali ambayo chanzo chake ni Uzito Kuzidi Mwilini…
Alijiuliza imekuwaje awe na uzito uzidi mwilini ikiwa anaishi maisha ya kawaida na kufanya mazoezi yanayofaa kwa maisha ya Mtanzania?
Ile taarifa ilimchanganya sana, kwa sababu wakati anasoma chuo kikuu kuna rafiki yake alikuwa ana tatizo la Uzito Mkubwa na alimshuhudia mara kadhaa akipoteza fahamu kutokana na maumivu makali ambayo chanzo chake ni Uzito kuzidi mwilini.
Kilichomchanganya zaidi ni zile kauli za watu kwamba Uzito Mkubwa wa Mwili huwa haupugui…
Akajisemea moyoni mwake ''NITAPUNGUZA UZITO HUU NDANI YA MIEZI MICHACHE TU!''
Lakini cha ajabu alitumia dawa za hospitali miaka miwili...
Taarifa mbaya ni kwamba Uzito haukupungua wala hakupata nafuu, badala yake aligeuka kuwa mtumwa wa kumeza dawa kila siku.
Akaona bora Ajaribu na dawa za kienyeji (Mitishamba) lakini mambo yalikuwa magumu zaidi…
Alipoteza pesa, huku akiendelea kuharibu afya yake zaidi kwa sababu dawa zingine hakujua hata zilikuwa zinatengenezwa kwa kutumia vitu gani.
Kilichomuudhi zaidi ni ile hali ya kuzinunua zile dawa kwa gharama kubwa halafu anashindwa kumaliza dozi kutokana na namna zinavyokera kwa uchungu, harufu au kutokana na ladha yake mbaya.
Siku moja aliagiza dawa ya Kupunguza Uzito ya kienyeji kutoka kigoma, haikuwa dawa kwakweli hiyo ni pilipili tupu, muda mfupi tu baada ya kuitumia alihisi anakufa.
Ile dawa ilimpa maumivu makali mno akaamua kwamba hahitaji tena kutumia dawa za kienyeji.
Alianza kuamini kwamba kweli Uzito Mkubwa haupungui kwa sababu alitumia dawa za aina nyingi sana za hospitali na za kienyeji hadi akachoka na kuamua kuachana nazo kabisa…
Kitu kilichomsikitisha ni kupoteza pesa kila kukicha, lakini hali yake haikubadilika hata kidogo…
Kuna dada mmoja alimuambia, kama anataka Kupunguza Uzito kwa haraka basi anywe mkojo wake.
Alikaa wiki nzima akiuwazia mkojo wake aunywe au laa, na kila siku mwili wake mkubwa ni kama ulikuwa unamuhamasisha kujaribu dawa mpya aliyoshauriwa.
Baada ya maumivu makali usiku mmoja, akafanya maamuzi ya kunywa mkojo....
Aliamka alfajiri akaenda chooni akaukinga mkojo kiganjani, alikunywa mkojo kama mafunda matatu hivi…
SIKUSHAURI unywe mkojo, una harufu mbaya, una chumvi kali na ukakasi, siku nzima hakufurahia hali ya kinywa chake.
Lakini alipambana wiki nzima kunywa mkojo mara tatu kwa siku asubuhi mchana na jioni.
Hakuona mabadiliko yoyote zaidi ya kuchoshwa na kero za harufu ya mkojo akaona bora aachane kabisa na dawa hiyo…
Wengine wakamshauri anywe maziwa mabichi ya ng’ombe, lakini yakamshinda kwa sababu ilikuwa kila akinywa gesi inamsumbua mara dufu…
Baada ya kupata taarifa nikamshauri atumie virutubisho lishe kutoka kwenye kampuni ninayofanyia kazi.
Akaniuliza vinauzwaje ?
nikamuelekeza virutubisho vitavyofaa kumaliza tatizo lake, kwenye bei sasa akaona hasara…
Akaanza kufanya tafiti kupata virutubisho vya bei nafuu, kweli Akapata virutubisho na anasema anakumbuka kabisa hadi jina la ile kampuni lakini binafsi siwezi kuitaja hapa.
Akanunua virutubisho na kutumia kwa miezi mitatu kama alivyoambiwa kwamba atakuwa amepona kabisa,lakini hali haikubadilika hata kidogo.
Akawa amepoteza pesa kwa mara nyingine, alipata huzuni iliyoambatana na hasira sana.
Ikapita kama muda wa wiki moja hivi akitafakari maana kazi haziendi na afya ni mgogoro kwelikweli…
Siku moja alihudhuria mazishi sehemu fulani, kitu kilichomshtua ni pale waliposema kilichomuua marehemu ni Uzito Mkubwa Mwilini.
Anasema, Usiku ule sikulala kwakweli, nilikuwa kwenye dimbwi la mawazo mengi sana. Hii hali yangu mwisho wake ni lini?
Nikifikiria nina miaka mitano naumwa tu kila siku, je huko ndani hivyo viungo vya mwili vina hali gani?
Akajiuliza tena kwani pesa na uhai wake kitu gani ni muhimu?
Maana wakati huo alikuwa na pesa nyingi tu, lakini ile hali ya kupoteza pesa bila kupatikana angalau nafuu ya kupunguza uzito wa mwili wake ndiyo ilikuwa imemkatisha tamaa sana.
Alijisemea moyoni mwake,bora nijaribu tena.
Naweza kuonea hasara hizi pesa ambazo nimezitafuta mwenyewe mwisho wa siku wakaja kuzitumia kwa anasa wapumbavu ambao hata hawatahitaji kujua nilizipataje.
Asubuhi tu akanipigia simu na kuniuliza hivi ile dozi kamili ya kupunguza uzito wa mwili ni shilingi ngapi mdogo wangu ?
Nikamtajia bei akatuma pesa...
Kesho yake jioni akaenda kuupokea mzigo wake kwenye magari ya Dar.
Nikampatia maelekezo ya namna ya kuanza kutumia dawa zake kesho asubuhi.
Anasema, Dakika 30 tu baada ya kutumia juisi moja, ilitosha kuamini kwamba sasa naelekea kupunguza uzito wa mwili wangu.
Maana baada ya kunywa ile juice moja tu niliskia ngurumo nyingi mno tumboni mwangu…
Ghafla nilisikia nahitaji kwenda chooni, kufika chooni kazi yangu ilikuwa ni kukaa tu, uchafu uliotoka sikuwahi kufikiria kama nilikuwa namiliki uchafu kiasi kile tumboni mwangu.
Kila siku nilikuwa napata choo kidogo sana, lakini ile siku nilipata choo kingi sijawahi kukiona tangu nizaliwe, cheusi na kina harufu kali mno...
Ndani ya masaa mawili nilikwenda chooni mara saba, mara nne za mwanzo uchafu uliotoka ulionesha kuwa ulikuwa umegandamana tumboni kwa muda mrefu sana.
Baadae yakaanza kutoka maji safi kabisa…
Ile juisi ni kama ilikwenda kusafisha utumbo kama vile utumbo wa mbuzi uwekwe kwenye koki halafu ufungulie maji kwenye bomba kwa spidi kali, unasafisha kila takataka iliyomo kwenye utumbo.
Kama mdogo wangu usingeniambia kwamba ndicho kinachokwenda kutokea kwa siku ya kwanza basi ningepata hofu kubwa sana.
Lakini kitu cha kufurahisha ni kwamba tumbo halikuuma hata kidogo na sikupata uchovu kama ambao mtu anaupata anapoharisha kwa kuugua…
Badala yake nilijiona nina nguvu na nimekua mwili mwepesi tofauti na siku za nyuma na tumbo langu lilikuwa jepesi sana kiasi cha kuamini hakuna uchafu uliobaki tumboni.
Baada ya kutumia zile bidhaa wiki moja tu, akaanza kulala fofofo, usingizi mzito kabisa ambao aliukosa kwa siku nyingi sana…
Ngurumo za tumboni zikapotea, gesi ilikuwa imekata kabisa, suala la kupata ganzi na kizunguzungu likatoweka.
Alianza tena kuvaa nguo zake za zamani na ambazo zinampendeza na hisia za aibu kwa jamii zilimtoweka kabisa
Dozi ya mwezi mmoja tu ilimsaidia kupungua uzito wa kilo 18
Lakini aliongeza dozi ya mwezi wa pili ili kupunguza uzito zaidi na kusambaratisha kabisa kero zote zilizomsumbua miaka mingi…
Baada ya dozi ya pili hakuhitaji tena kuongeza dozi ya mwezi wa tatu…
Watu wengi wanaomfahamu walikuwa wanashikwa na butwaa kumuona anafanya kazi na mazoezi ambayo alikuwa anayakwepa…
Wakawa wanahitaji awaambie amewezaje kupunguza Uzito Mkubwa wa mwili? na je kwenye hiyo kampuni kuna bidhaa za kusaidia kuponesha magonjwa mengine?..
Ndipo alianza kuwa wakala wa kusaidia kuelekeza watu kwangu ili niwasaidie kutatua changamoto zao za kiafya kama nilivyomsaidia yeye…
Hivi sasa ni miaka minne tangu apunguze uzito wa mwili, hajawahi hata kuhisi dalili ya uzito kuongezeka, wala kupata maumivu ya viungo na kero za Uzito Mkubwa Mwilini umebaki kama historia maishani mwake...
Kitu anachofurahia zaidi ni kuona haumwi umwi mara kwa mara kama ilivyokuwa zamani kabla hajatumia dawa hizi zilizomponesha…
Lakini pia kupitia kwa kaka nimewasaidia watu wengi sana kutatua changamoto za Uzito Mkubwa Mwilini na magonjwa mengine…
Pengine unatamani kujua kaka alitumia dawa gani ambazo zimemsaidia kupunguza uzito wa mwili ?
Usijali ndani ya dakika mbili zijazo nitakwambia alitumia nini lakini kwanza unatakiwa ujue kwamba…
Tafiti Zinaonesha Kila Kitu Ndani Ya Mwili Kina Chanzo Chake Na Hiki Ndiyo Chanzo Cha Uzito Kuzidi Mwilini
Kikawaida mwili wa binadamu huwa na mchakato unaoitwa metabolism (metaboliki)
Hii ni mbinu au mchakato wa mwili kubadili mafuta/kalori na kuwa nishati ndani ya mwili…….
Ndani ya mchakato huu kuna hatua muhimu inayoitwa Lipolysis
Katika hatua hii mwili huvunjavunja mafuta yaliyohifadhiwa katika seli za mafuta (Fatty acid) kuwa vipande vidogo vidogo vya nishati na kuwa asidi ya mafuta…
Lipolysis hutokea wakati mwili unahitaji nishati na hakuna kalori za kutosha zinazopatikana kutoka kwenye chakula.
Katika hali hii, mwili utavunja triglycerides ili kutoa asidi ya mafuta, ambazo zinaweza kutumika kama chanzo cha nishati…
Triglycerides ni aina ya mafuta (lipids) yanayopatikana katika damu.
Kila wakati unapokula, mwili wako hubadili kalori ambazo hazihitajiki kutumika papo kwa hapo
Kwa maana nyingine ni mrundikano wa kalori/mafuta yapatikanayo katika damu ndiyo huitwa triglycerides, ambazo huhifadhiwa katika seli za mafuta.
Baadae homoni hutoa triglycerides hizi ili kuzitumia kama nishati
Wakati mwili unahitaji nishati, unazivunja triglycerides hizi ili kuzitumia kati ya mlo mmoja na mwingine…
Sasa kinachokufanya ushindwe kupungua pamoja na kuwa unafanya jitihada kama kufanya diet, mazoezi mazito, kuacha kula baadhi ya vyakula na mengine mengi ili kupunguza uzito na unajikuta haupungui......
Hii ni kwa sababu ndani ya mwili wako kuna homoni inayoitwa Leptin….
Leptin ni homoni inayozalishwa na seli za mafuta na inahusika katika kudhibiti hisia za njaa na kutumia nishati.
Kwa kawaida, leptin huashiria ubongo kwamba mwili una mafuta ya kutosha, hivyo hupelekea mwili kupunguza njaa ni kitendo cha automatic ndani ya mwili.
Hata hivyo, watu wenye uzito uliozidi mara nyingi wanakabiliwa na hali inayoitwa leptin resistance (ukinzani wa leptin), ambapo ubongo haupokei tena ishara za leptin ipasavyo…..
Hii inaweza kusababisha mtu kuendelea kuhisi njaa kali na kumpelekea mtu kula zaidi ya chakula kinacho hitajika mwilini.
Hivyo basi……
Leptin resistance (ukinzani wa leptin) ndiyo chanzo cha wewe kuhisi njaa kali na matokeo yake hukupelekea kula chakula kingi na kula kila wakati bila mpangilio.
Matokeo ya leptin resistance hupelekea kuzalishwa kwa homoni inayoitwa Ghelin.
Ghelin ni homoni inayojulikana kama "homoni ya njaa" kwa sababu inawajibika kwa kuongeza hisia za njaa.
Wakati wa mlo au kupunguza kalori, viwango vya ghelin vinaweza kuongezeka, na kumfanya mtu awe na njaa zaidi na hivyo kufanya iwe vigumu kupunguza uzito.
Kwahiyo ili uondokane na tatizo lako la uzito uliozidi uliloteseka nalo kwa muda mrefu inatakiwa upate kitu ambacho kazi yake ni kwenda kudhibiti hii Homoni ya Ghelin ili isichochee njaa kali kila wakati na kupunguza ile shauku ya kutaka kula kila unapoona chakula mbele yako……
Ukiweza kupata kitu hicho cha kudhibiti Ghelin maana yake, utaiongezea nguvu homoni ya Leptin ambayo kazi yake hutoa taarifa kwenye ubongo juu ya uwepo wa mafuta mengi mwilini na hivyo kuufanya mwili kuanza kuchoma akiba ya mafuta kwa kasi stahiki.
Mwili wako utarudi kama zamani na kupata kilo sahihi unazotakiwa kuwa nazo.
Ugunduzi Mpya Ulivyosaidia Kutengeneza Dawa Ya Kupunguza Uzito Uliozidi Mwilini
Baada ya uchunguzi wa muda mrefu wanasayansi waliweza kugundua kuwepo kwa kiambata cha Hydroxycitric Acid (HCA) ndani ya mmea wenye asili ya asia uitwao Garcinia Cambogia.
Ndani ya Mmea wa Garcinia cambogia kuna kiambata hichoambacho wanasayansi waligundua kuwa kina uwezo wa kusaidia kuzalisha homoni ya Leptin kwa wingi.
kazi ya Leptin ni kukufanya usijisikie njaa kali na kukufanya ule kiwango sahihi na kwa wakati sahihi na kupunguza uzito.
Jinsi ambavyo kiambata cha HCA kinafanya kazi, kwanza kabisa kinazuia uzalishaji wa mafuta mwilini,
HCA inachofanya ni kuzuia enzyme(kichochezi) inayoitwa citrate lyase,.....
Citrate Lyase ni kichochezi kinachopatikana zaidi katika utengenezaji wa mafuta mwilini kutoka kwenye vyakula vya wanga na kalori zisizotumika.
Kwa kuzuia enzyme hii, mwili unaweza kupunguza hifadhi ya mafuta.
Pili , kupunguza hamu ya kula. HCA inachofanya ni kuongeza viwango vya homoni ya leptin na serotonin kwenye ubongo, ambayo inaweza kuchochea kupunguza hamu ya kula bila utaratibu.
“Hydroxycitric Acid” ni kirutubisho ambacho kazi yake ni kuzuia “Ghelin” ili kukupunguzia hamu ya kula bila mpangilio na kuruhusu uchomaji mafuta yasiyohitajika mwilini na yanayokufanya ushindwe kupungua uzito.
Kwa kuwa adui yako mkuu ni Ghelin na uchunguzi umeonesha Hydroxycitric Acid inazuia Ghelin ambayo huleta njaa isizalishwe na kuruhusu uzito kuongezeka,...
Basi Hydroxycitric Acid ni rafiki na mkombozi wa tatizo lako.
Hydroxycitric Acid ndio kitu cha pekee unachokihitaji kuweza kuondokana na tatizo la uzito wako.
Dawa Iliyomsaidia Kaka Yangu Mpaka Akapunguza Uzito Bila Kuongezeka Tena
Baada ya tafiti kuhusu mmea huu wenye asili ya Asia wa Garcinia cambogia,
shirika la Marekani la Forever Living Product ambalo linajishughulisha na utengenezaji wa tiba asilia kwa kutumia virutubisho lishe na mimea asilia kuanzia mwaka 1982 likaamua kuanzisha kilimo cha mmea wa Garcinia ambao asili yake ni Asia ya kusini-mashariki.
Ili HCA iliyopo ndani ya Garcinia Cambogia na virutubisho vingine muhimu vitumike kutengeneza tiba sahihi asilia ya kufanya mwili uweze Kuchoma mafuta yaliyozidi na kuondoa tatizo la uzito….
Baada ya shirika hili kufanikiwa kuzalisha mmea huu wenye asili ya Asia kwa wingi wakaamua kutengeneza dawa za aina 3 kwa ajili ya kuondoa tatizo la uzito kuzidi mwilini.
Dawa hizi zipo kwenye pakeji moja.
Pakeji hii inaitwa “Fit detox” ikimaanisha ondoa sumu mwilini punguza uzito.
Dawa hizi 3 kwenye pakeji ya “fit detox” ni zipi? Hizi hapa….

Dawa ya Kwanza kwenye Package ya "Fit Detox" ni.....
Garcinia plus; Dawa hii imetengenezwa kwa muunganiko wa mmea wa Garcinia cambogia wenye Hydroxycitric Acid ambayo itakusaidia kupunguza hamu ya kula hovyo hovyo
Vilevile dawa hii itasaidia kuyeyusha mafuta kwa kufanya mwili wako kutumia mafuta yaliyoko kwenye mwili kuwa nishati, na kuweza kumaliza tatizo lako la uzito na mafuta mabaya mwilini mwako….
Kwahiyo kupitia dawa hii ya Garcinia plus utaweza kupata Hydroxycitric Acid kutoka kwenye mmea asilia wenye asili ya Asia ambayo ndio kirutubisho pekee cha kuweza kuondoa kiini cha tatizo lako.
Dawa ya pili kwenye Package ya “Fit detox” ni….
Forever Therm; Dawa hii imetengenezwa kwa muunganiko wa Green tea na Coffee.
Pia ina vitamin B1-12 na C, ambapo kazi yake ni kukusaidia kuongeza metabolism yani ufanisi wa mwili wako kuvunja vunja mafuta ndani ya mwili wako na kuwa nishati.
Hivyo kusaidia kuondoa mrundikano wa mafuta kwenye mwili wako.
Kwahiyo kupitia dawa hii utaweza kuondoa mafuta mabaya kwenye mwili wako na kuufanya uweze kupungua kwa haraka na kwa njia asilia kabisa.
Dawa ya tatu kwenye package ya "Fit Detox" ni.....
Aloe vera gel; Dawa hii imetengenezwa kwa mmea wa Aloe vera aina ya Barbadensis miller
Kwa kuwa zipo species nyingi za aloe vera, hivyo aina hii ya barbandensis miller ndiyo iliyothibitishwa kitaalamu kuwa na uwezo mkubwa wa kuyeyusha mafuta na uchafu wote uliogandamana kwenye mishipa ya damu.
Kwahiyo utakapotumia dawa hii utaweza kuondoa mafuta mabaya mwilini mwako na kuufanya mwili wako uwe na uwezo wa kupungua uzito kwa kilo unazotaka zipungue.
“Fit Detox” ni Package ya kipekee na tofauti kabisa na tiba yeyote ile ambayo ushawahi kutumia.
MATUMIZI YA "FIT DETOX PACKAGE"
“Fit Detox” ni Package yenye Dawa za uhakika zilizothibitishwa kisayansi kufanya kazi kwa haraka kupunguza uzito uliozidi.
Si hivyo tu…..
Dawa hizi zipo katika mfumo wa vidonge na Kimiminika kwenye Package hii.
Vilevile Dawa hizi zimethibitishwa na mamlaka za chakula na dawa duniani (FDA) na TMDA kwa hapa Tanzania.
Kwahiyo, wasiwasi wako wa kupata madhara yoyote baada ya kutumia virutubisho hivi uweke pembeni kabisa.
Virutubisho hivi ni salama kwa afya ya mwili wako.
Fikiria kutoka kwenye hali ya kunyanyapaliwa katika jamii na kuondokana na hali ya kuhisi aibu,
Wakati mwingine jamii inakutenga au kukuongelea vibaya kutokana na mwili wako kuwa mkubwa na uzito uliozidi na kuwa na uzito sahihi wa mwili wako na kukubalika katika jamii.
Hali ya Afya yako itaimarika sana kutokana na kuweka mwili wako katika hali ya kupambana na magonjwa nyemelezi yanayosababishwa na uzito mkubwa kama vile magonjwa ya moyo, sukari na shinikizo la damu.
Hizi adha zitaondolewa kwa kutumia fit detox.
Fikiria namna ambavyo mwili wako utapendeza kutokana na kuvaa nguo za kukupendeza baada kupungua kwa mwili wako na kuwa katika hali unayoipenda.
Utaweza kuwa na muonekano unaovutia na kukufanya kuwa jasiri kwa jamii inayo kuzunguka.
Jaribu kuwaza kwa namna ambavyo utaishi maisha marefu kutokana na mwili wako kuweza kupambana kuongeza kinga ya mwili
Na kukufanya uweze kuwa na afya bora katika maisha yako.
Fikiria jinsi ambavyo utakuwa na nguvu na uwezo wa kufanya kazi
Kwa kutumia Fit Detox mwili wako utakuwa na nguvu na uwezo wa kufanya kazi kwa muda mrefu tena kwa ufanisi pia kuondokana na uchovu wa mwili kutokana na uzito wa mwili ulio nao kupungua.
Hali ya kujiamini na kujipenda itaongezeka zaidi katika maisha yako.
Ukumbuke kuwa na mwili mkubwa kupita kiasi na uzito uliozidi huathiri jinsi mtu anavyojiona na kujiamini,
Hivyo baada ya kutumia Fit Detox utaonekana na kujisikia vizuri kuhusu mwili wako.
Hali ya kuongezeka uzito bila mpangilio itakoma
Na uzito wa mwili kudhibitiwa katika kiwango sahihi kinachotakiwa.
Tazama, utakavyoitumia Package ya “Fit Detox” siku hadi siku….
Adui yako Ghelin atanyang'anywa utawala na hapo atatawala Leptin ambae ni Rafiki yako.
Badala ya kukufanya uhisi njaa kali ndani ya mwili wako,
Reptin atachukua nafasi zaidi na ataanza kupunguza hisia za njaa na kufanya mafuta yaliyopo kila sehemu ya mwili wako kuanzia tumboni na kwenye mishipa ya damu kuyeyuka kama Barafu iliyoanikwa kwenye jua kali.
“Fit Detox” itakuongezea kasi ya kuchoma mafuta hata baada ya dozi kumalizika mwili wako utaendelea kuchoma mafuta.
Hata kama mwanzo ulikuwa ukijitahidi kufanya mazoezi na haupungui baada ya dozi hii utaanza kupungua bila kuongezeka uzito kwa kuwa Homoni ya kuchochea unene itakuwa imedhibitiwa.
Hata kama uzito wako ni mkubwa kupindukia na pengine umekuwa ukishambuliwa na magonjwa kama sukari, shinikizo la damu na magonjwa ya moyo,
Utakapotumia “Fit Detox” itakuondolea fedheha na wasiwasi juu ya afya yako na kukupa mwanzo mpya wa afya yako.
Hata kama umetumia bidhaa na dawa bandia za makampuni mengine na kukuacha bila msaada wowote pasipo kupungua,..
Nina uhakika utakapoitumia “Fit Detox” ndani ya siku 9 mwili wako utapungua kwa kiwango unachotaka.
Si hivyo tu….
Bali hata kama ukimaliza dozi hautarudi hali yako ya awali.
Tofauti na bidhaa zingine ulizowahi kutumia ambazo baada ya kuacha kuzitumia hali yako ya kwanza ikarudi vilevile na mwili kuongezeka uzito
Hivyo “Fit Detox” ni tofauti na bidhaa hizo.
kama nilivyo kwambia “Fit Detox” inakupa matokeo ya uhakika na ya moja kwa moja.
Si hivyo tu…
Hata kama mwili wako una unene wa asili umezaliwa ukiwa na asili ya unene na uzito kuzidi “Fit Detox” itakuondolea unene uliozidi na kukupa muonekano mpya kabisa.
Dozi kamili ya kutumia pakeji hii ya “Fit Detox” imegawanyika katika sehemu kuu mbili…
Kama unataka kupunguza kilo 10 utatumia Dozi moja tu.
Ambapo ni Dozi ya siku 9 na ukishamaliza hizo siku utakuwa umemaliza tatizo lako.
Tatizo lako litakuwa limeisha kabisa na wala hutahitaji kuendelea kutumia dawa tena kama ilivyo kwenye dawa zingine.
MATUMIZI YA PACKAGE HII YA “FIT DETOX” NI KAMA IFUATAVYO:
Garcinia Plus; Unakula kidonge kimoja (1) nusu saa hadi saa moja (1) kabla ya chakula asubuhi na jioni yaani (1x2),
unaweza kula kidonge cha Garcinia Plus na kufanya mazoezi kabla ya chakula kisha ukimaliza mazoezi ndipo unaendelea na utaratibu wa kupata chakul.
Forever Therm; Meza kidonge kimoja mara mbili kwa siku yaani (1x2) kimoja asubuhi na kimoja jioni au unaweza kumeza vyote viwili wakati wa asubuhi utaangalia ratiba ya muda wako na kazi zako.
Aloe vera Gel; Kunywa aloe vera gel mls 120 asubuhi, mchana na jioni (120 mls X 3) baada ya kunywa Aloe vera Gel pia kunywa maji glass moja.
Zingatia Hili : Kula Dawa hizi nusu saa kabla ya kula chakula.
Hakika Bidhaa Hizi Ni Tiba Mpya Na Ya Kipekee Ambayo Haijawahi Kugunduliwa!
Usiyaamini maneno yangu. Baadhi ya watu waliotumia package hii wana yafuatayo ya kusema:
Juma Makwabu kutoka Singida
Wiki ya pili baada ya kutumia "Fit Detox Package"niliamua kupima kuona uzito wa mwili wangu umefikia wapi. Majibu yalitushangaza sana mimi na doctor. Vipimo vilionyesha nimepunguza kilo 20. “Umetumia nini mpaka uzito wako umepungua?” Aliuza Doctor. Bila kusita nikamwambia ni Fit Detox Package.
George Simon kutoka Dar:
Nina miaka 73 nilidhani "Fit Detox Package" haitanisaidia. Nimepunguza Uzito kwa kiwango kikubwa . Mgongo hauniumi tena. Maumivu ya maungio yametoweka kabisa. Hii dawa ni kiboko ya magonjwa ya uzeeni
consolata saanane kutoka Mwanza:
"Fit Detox Package" ni kiboko! Nilikuwa nimechoshwa na hali ya kushindwa kulala kisa kukosa pumzi kwa sababu ya uzito mkubwa. Na nikikaa napata kizunguzungu . Kwa sasa mambo ni safi kabisa. Usiku napumua vizuri. Nalala kwa amani kabisa.
Maxwell kasubi kutoka Arusha :
Sio kwamba Fit Detox Package imenisaidia kudhibiti Uzito Mkubwa Wa Mwili tu. Kilichonishangaza ni kwamba hata mfumo wangu wa uzazi umekaa Sawa wakati umekuwa ukinisumbua kwa muda mrefu. Hakika sitoacha kuendelea kuitumia Fit Detox Package katika maisha yangu
Kama unavyoona hicho ndicho walichokipata baadhi ya wahanga wa tatizo baada ya kutumia vidonge na majani haya (Fit Detox Package)
Dozi kamili ya kudhibiti tatizo la Uzito Mkubwa Mwilini mpaka likaisha kabisa na lisijirudie tena ni siku 90.
Kama Uzito Wako sio mkubwa sana kuna uwezekano wa kuwahi kupona kabisa kabla ya siku 90.
Lakini hata kama utawahi kupona kabla ya siku 90 tunashauri umalize dozi kamili ili kuzuia Uzito Wako usiweze kujirudia tena.
Fit Detox Package Inagharimu Bei Gani ?
Dawa za Kupunguza Uzito Wa Mwili na kuondoa mafuta mabaya mwilini kutoka kwenye makampuni mengine
Dozi ya kupunguza kilo 10 ni 2,000,000/=
Na kama unavojua hakuna dawa ya hospitalini inayoweza kuondoa hili tatizo la uzito,
Zaidi sana ni kufanyiwa upasuaji ama uwekewe puto kitu ambacho ni hatari zaidi kwenye afya yako.
Kwahiyo nikisema “Fit Detox Package” utaipata kwa 1,500,000/= itakuwa ni bei rahisi sana.
Ukizingatia Forever Living wametumia mabilioni ya pesa kufanya utafiti wa kugundua Virutubisho lishe vilivyotumika kutengeneza pakeji hii ya “fit detox”
Na pia utengenezaji wa dawa hizi unatumia teknolojia ya kisasa hivyo gharama zinazotumika kutengeneza pakeji hii ya “Fit Detox” zipo juu sana.
Kwahiyo kwa 1,500,000/= unakuwa umepata bei rafiki ukilinganisha na bei ya makampuni mengine.
Lakini unajua nini?
Hutalipia hiyo 1,500,000/= kupata Dozi kamili ya “Fit Detox Package”.
Pesa utakayolipia hata haifiki nusu ya hiyo 1,500,000/=
Unaweza ukajipatia dozi kamili ya pakeji hii kwa…..
TSH 640,000/= tu.
Kuna sababu kwanini nimeamua kutoa punguzo la bei kubwa sana hivyo.
Sababu ni kwamba.....
Kutokana na uhitaji wa “Fit Detox Package” kuwa mkubwa katika jamii inayonizunguka,
Nimeamua kuisaidia Jamii kupata huduma kwa bei ambayo kila mmoja mwenye uhitaji ataimudu.
Hivyo nimeamua kuigusa Jamii ili kuondokana na tatizo la Uzito Mkubwa Mwilini ambao umekuwa kilio kikubwa na imekuwa chanzo cha magonjwa kama sukari, kiharusi na magonjwa ya moyo.
Kwa sababu, hiyo ndio maana nimeamua kutoa punguzo hili ili kukupatia urahisi wa kuipata pakeji hii.
Kwa kuwa nina imani kwa 100% kwamba, pakeji hii itakusaidia kuondoa kabisa tatizo la Uzito Mkubwa Wa Mwilini na kuondoka kwenye hatari ya magonjwa ya moyo, sukari na kiharusi.....
Hivyo hata wewe naamini utatamani kusaidia ndugu na watu wanao kuzunguka kuondokana na tatizo hili la Uzito Mkubwa Wa Mwili na Mafuta Mabaya Mwilini.
Lakini punguzo hili la bei halitakuwepo siku zote.
Fit Detox Package inatengenezwa Marekani.
Kwa sasa mzigo ambao tumebaki nao kwa hapa Tanzania ni ni dozi ya watu 50 tu.
Kwa hiyo, kwa watu 50 watakaokuwa wa kwanza kununua Fit Detox Package watapata ofa hii ya punguzo la bei kwa kiwango chochote watakachokuwa wameanza nacho na watasajiliwa kwenye CLUB inayoitwa “ondoa sumu mwilini punguza uzito.”
Ukisajiliwa kwenye Club hii faida yake ni kwamba utaendelea kupata punguzo la bei kwa oda zingine utakazoagiza zaidi na zaidi hata kama bidhaa zingine zitaletwa kutoka Marekani.
Watu 50 wanaonekana wengi lakini kumbuka Tangazo hili linaonekana kwa Watanzania wote wenye simu kubwa za kuweza kuingia mtandaoni na wengi wao ni watu ambao wamechoka kuendelea kupoteza muda na pesa kwenye tiba ambazo hazifanyi kazi.
Kwahiyo, Nina uhakika ndani ya siku kadhaa au wiki kadhaa watu hao 50 watakuwa tayari wamechukuwa ODA zao.
Baada ya Oda hizo 50 kuchukuliwa Hutopata tena punguzo la bei ambalo tunalitoa kwa watu hawa 50.
Na si hivyo tu……
Kama utapitwa na OFA hii itakubidi usubiri siku 180 (miezi 6) kuja kwa mzigo mwingine wa “Fit Detox Package” kutoka Marekani.
Miezi yote hiyo ya kusubiri unaweza kujikuta uzito wako unazidi kukuongezea madhara na hata kukuletea magonjwa yanayosababishwa na Uzito Uliozidi kama sukari, magonjwa ya moyo na kiharusi.
Si hivyo tu…
Utaendelea kunyanyasika kutokana na muonekano wako wa mwili mzito na unene kupita kiasi.
Sikuombei itokee hivyo…
Lakini ni vyema ukachukua oda yako mapema kwa sababu zipo ODA za watu 50 tu kwa sasa.
Pengine umetumia dawa za aina mbalimbali lakini hazijakusaidia kupona tatizo lako.
Zaidi umeishia kupoteza pesa zako bure na unaogopa kuzidi kuendelea kuzipoteza.
Naelewa unavyojisikia lakini kukuhakikishia kwamba “Fit Detox Package” itakusaidia kuondokana na tatizo lako na likaisha kabisa,
Nakuuzia dawa hii kwa dhamana (Guarantee)

Dhamana hii iko hivii…
Tumia Dozi ya “Fit Detox Package” kwa muda wa siku 30 kama unapunguza kg 10, siku 60 kama unapunguza kilo 20 na siku 90 kwa kilo 30, nina uhakika utaipenda.
Ikitokea kwasababu yeyote ile hujaipenda “Fit Detox Package” au haijakupatia matokeo yote niliyoyasema hapo juu piga simu kwenye namba hii 0710918109kutoa taarifa na utarudishiwa pesa zako zote bila kuulizwa swali lolote..
Aidha “Fit Detox Package” ikupatie matokeo unayoyataka juu ya tatizo lako au nikurudishie pesa zako.
Huna cha kupoteza hapo.
Hata hivyo nina uhakika utakavyoanza kutumia “Fit Detox Package” siku hadi siku,
Utastaajabishwa kwa matokeo utakayoyapata na wala hutokumbuka tena kuomba kurudishiwa pesa zako kwa sababu utakuwa umejawa na furaha ya kuondokana na Uzito Mkubwa Wa Mwili kwa njia ya asili bila upasuaji wala kuwekewa puto.
Unachotakiwa kufanya kwa sasa angalia mpangilio wa dozi hapa chini kisha jaza fomu ili kutuma oda ya dozi utakayoanza nayo.
Dozi ya mwezi 1 500,000/= 268,000/=(punguza kilo 10)
Dozi ya miezi 2 1,000,000/= 454,000/= (punguza kilo 20)
Dozi ya miezi 3 1,500,000/= 640,000/= (punguza kilo 30)
Malipo yote yatafanyika kwa njia ya Mixx By Yas (Tigo-pesa) au NMB BANK.
Namba ya Mixx By Yas (Tigo-pesa) ni 0710-918109Jina ni BARAKA HEZRON
Namba ya Account ya NMB 23610028409Jina ni BARAKA AMON HEZRON.
Cha kufanya tuma pesa kupitia Bank au simu.
Upendeleo kwa watu waishio Dar es salaam ni kwamba utapata mzigo wako bila gharama ya usafiri. (free delivery)

Kama upo mkoani au visiwani unafanya malipo ya Gharama ya dozi na gharama ya usafiri kwanza
Gharama ya Usafiri ni 15,000/= kwa mikoa yote,
Baada ya hapo mzigo wako unatumwa mkoa ulipo kwa njia ya bus na kwa njia ya boat kwa wale wa visiwani.
Kujaza Fomu ni Rahisi.
Bonyeza hapa chini sehemu iliyoandikwa “ODA YANGU”.
Baada ya kubonyeza sehemu hiyo itafunguka fomu ya kujaza taarifa zako na kutuma oda yako (Taarifa Zako zitatunzwa hatakuwepo mtu mwingine tofauti na mimi atakayejua kuhusu tatizo lako)
Bonyeza sehemu hii sasa hivi.
Ahsante kwa muda wako.
Ni mimi,
Mr Baraka
>>>0710918109<<<
P.S: Kama nilivyokwambia zipo oda za watu 200 tu kwa sasa.
Saa iliyopo hapo chini itakaposoma sifuri maana yake oda zote zimechukuliwa na tangazo hili hautoliona tena mpaka pale tutakapopata mzigo mpya na kuanza kutangaza kwa mara nyingine tena.
Kwahiyo, usiendelee kusubiri wakati suluhisho la tatizo lako liko mbele yako. Tuma oda yako mapema kabla hujawahiwa.
This site is not a part of the FacebookTM website or FacebookTM Inc. Additinally, this site is NOT endorsed by FacebookTM in any way. FACEBOOKTM is a trademark of FACEBOOKTM, inc